MAKABIDHIANO YA OFISI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi kwa waziri mpya wa Kilimo Mhe Hussein Bashe Jijini Dodoma tarehe 11 Januari 2022. Wengine pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Antony Mavunde akishuhudia Waziri wa Elimu, Sayansi na